Photos: Recent submissions
Now showing items 21-40 of 150
-
Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi akitoa neno la ukaribisho kwa Mawakili wa Serikali
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-06-06)Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi akitoa neno la ukaribisho kwa Mawakili wa Serikali wakati wa mafunzo kwa Mawakili hao yanayofanyika Jijini Arusha. -
Watumishi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, wakimsikiliza Wakili Mkuu wa Serikali Dkt. Ally Possi
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-06-06)Watumishi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, wakimsikiliza Wakili Mkuu wa Serikali Dkt. Ally Possi (hayupo pichani) wakati akifungua mafunzo hayo yaliyofanyika Jijini Arusha. -
Wakili Mkuu wa Serikali Dkt. Ally Possi (aliyeketi katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na watumishi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-06-06)Wakili Mkuu wa Serikali Dkt. Ally Possi (aliyeketi katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na watumishi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali baada ya kufungua yaliyofanyika Jijini Arusha. -
Wakili Mkuu wa Serikali Dkt. Ally Possi (aliyeketi katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na Mawakili wa Wafawidhi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-06-06)Wakili Mkuu wa Serikali Dkt. Ally Possi (aliyeketi katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na Mawakili wa Wafawidhi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali baada ya kufungua mafunz ohayo yaliyofanyika Jijini Arusha. -
Wakili Mkuu wa Serikali Dkt. Ally Possi (aliyeketi katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na wajumbe wa Menejimenti ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-06-06)Wakili Mkuu wa Serikali Dkt. Ally Possi (aliyeketi katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na wajumbe wa Menejimenti ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali baada ya kufungua mafunzo hayo yaliyofanyika Jijini Arusha. -
Watumishi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakiongozwa na Mkuu wa Kitengo cha MAKTABA ndugu Kiuye Shemakame wakipima afya
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-06-06)Watumishi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakiongozwa na Mkuu wa Kitengo cha MAKTABA ndugu Kiuye Shemakame wakipima afya wakati wa mafunzo hayo yaliyofanyika Jijini Arusha. -
Afisa Tehama Mwandamizi wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ndugu Faraja Komba akitoa mada
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-06-06)Afisa Tehama Mwandamizi wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ndugu Faraja Komba akitoa mada kuhusu Matumizi sahihi ya baadhi ya Mifumo ya Kiutumishi wakati wa mafunzo hayo yaliyofanyika Jijini Arusha. -
Mkufunzi wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania, Dkt. Hosea Njovango
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-06-06)Mkufunzi wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania, Dkt. Hosea Njovango akitoa mada kuhusu Maadili ya Utumishi wa Umma wakati wa mafunzo hayo yaliyofanyika Jijini Arusha. -
Afisa Mazingira wa Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Bi. Evansia Shirima akitoa mada
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-06-06)Afisa Mazingira wa Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Bi. Evansia Shirima akitoa mada kuhusu mazingira wakati wa mafunzo hayo yaliyofanyika Jijini Arusha. -
Afisa Lishe wa Ofisi ya Mganga Mkuu wa Halmashauri ya jiji la Dar es Salaam, Bi. Neema Mwakasege akitoa mada kuhusu mtindo bora wa Maisha
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-06-06)Afisa Lishe wa Ofisi ya Mganga Mkuu wa Halmashauri ya jiji la Dar es Salaam, Bi. Neema Mwakasege akitoa mada kuhusu mtindo bora wa Maisha wakati wa mafunzo hayo yaliyofanyika Jijini Arusha. -
Mratibu wa Kusimamia Magonjwa yanayoambukiza wa Ofisi ya Mganga Mkuu wa Halmashauri ya jiji la Dar es Salaam, Dkt. Aisha Zukheri
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-06-06)Mratibu wa Kusimamia Magonjwa yanayoambukiza wa Ofisi ya Mganga Mkuu wa Halmashauri ya jiji la Dar es Salaam, Dkt. Aisha Zukheri akitoa mada kuhusu Magonjwa yanayoambukiza wakati wa mafunzo hayo yaliyofanyika Jijini Arusha. -
Dakitari Bingwa wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Dkt. Garvin Kweka akitoa mada kuhusu namna ya kukabiliana na msongo wa mawazo
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-06-06)Dakitari Bingwa wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Dkt. Garvin Kweka akitoa mada kuhusu namna ya kukabiliana na msongo wa mawazo wakati wa mafunzo kwa watumishi wa ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali yaliyofanyika Jijini Arusha. -
Naibu Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Alice Mtulo akitoa neno la utangulizi wakati wa ufunguzi wa mafunzo kwa watumishi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-06-06)Naibu Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Alice Mtulo akitoa neno la utangulizi wakati wa ufunguzi wa mafunzo kwa watumishi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakati wa mafunzo hayo yaliyofanyika Jijini Arusha. -
Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi akizungumza na watumishi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-06-06)Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi akizungumza na watumishi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakati akifungua mafunzo kwa watumishi hao yaliyofanyika Jijini Arusha -
Kaimu Mkuu wa Kitengo cha maktaba na utafiti Ndugu Kiuye Shemakame akifundisha namna ya kutumia E-Library kwa watumisha wa OWMS Dodoma
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-05-12)Watumishi wa OWMS Dodoma wafundishwa namna ya kutumia E-Library na Kaimu Mkuu wa Kitengo cha maktaba na utafiti Ndugu Kiuye Shemakame alipowatembelea hapo ofisini Dodoma. -
Watumishi wa OWMS Dodoma wakifundishwa namna ya kutumia e-library na Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Maktaba na Utafiti Ndugu kiuye Shemakame
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-05-12)Watumishi wa OWMS Dodoma wafundishwa namna ya kutumia E-Library na Kaimu Mkuu wa Kitengo cha maktaba na utafiti Ndugu Kiuye Shemakame alipowatembelea hapo ofisini Dodoma. -
Wakili Mkuu wa Serikali Dkt. Ally Possi (aliyesimama kulia) akijadiliana jambo na Katibu Mkuu wa Mali Asili na utalii (aliyesimama kushoto)
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-05-03)Wakili Mkuu wa Serikali Dkt. Ally Possi (aliyesimama kulia) akijadiliana jambo na Katibu Mkuu wa Mali Asili na utalii (aliyesimama kushoto) pamoja na Naibu Wakili Mkuu wa Serikali Bi. Alice Mtulo (aliyesimama katikati) ... -
Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Usuluhishi wa Ndani wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali Ndugu David Kakwaya
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-05-03)Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Usuluhishi wa Ndani wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali Ndugu David Kakwaya akichangia mada kuhusu Mawasliano ya Kimkakati Serikalini wakati wa kikao hicho kilichofanyika mkoani Morogoro. -
Baadhi ya Wajumbe wa Menejimenti ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakimsikiliza Mtalaamu wa Uongozi, Bi. Zuhura Muro
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-05-03)Baadhi ya Wajumbe wa Menejimenti ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakimsikiliza Mtalaamu wa Uongozi, Bi. Zuhura Muro wakati akitoa mada kuhusu Uongozi, Akili Hisia na Kushughulikia Msongo wa Mawazo wakati wa kikao cha ... -
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Usimamizi wa Mashauri na Udhibiti Ubora, ndugu Camilius Ruhinda akizungumza na wajumbe wa Menejimenti ya Ofisi ya Wakili Mkuu
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-05-03)Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Usimamizi wa Mashauri na Udhibiti Ubora, ndugu Camilius Ruhinda akizungumza na wajumbe wa Menejimenti ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakati wa kikao cha Faragha kwa viongozi hao kilichofanyika ...