The United Republic of Tanzania

Office of the Solicitor General

e-Library

Welcome to the Office of Solicitor General e-Library

The OSG e-Library is a comprehensive digital platform dedicated to the collection, preservation, and dissemination of critical legal information. It serves as an essential resource for legal research in civil litigation, equipping users with timely and relevant legal updates through the Current Awareness Service (CAS). Additionally, it enriches the legal repository with a wide range of e-publications, including constitutions, statutes, and other pivotal legal documents, ensuring seamless access to authoritative legal resources.

Recent Submissions

  • Item type:Item, Access status: Open Access ,
    Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Asha Hayeshi
    (OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2026-01-28) OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI
    Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Asha Hayeshi akitoa maelezo mafupi kuhusu maendeleo ya ujenzi wa jengo la Ofisi hiyo kwa Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi (hayupo pichani) alipotembelea mradi huo katika Mji wa Serikali, Mtumba, Dodoma.
  • Item type:Item, Access status: Open Access ,
    Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi akizungumza na wajumbe wa Menejimenti ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Mkandarasi - Suma JKT na mshauri elekezi, TBA (hawapo pichani)
    (OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2026-01-28) OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI
    Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi akizungumza na wajumbe wa Menejimenti ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Mkandarasi - Suma JKT na mshauri elekezi, TBA (hawapo pichani) kabla ya ziara yake ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la Ofisi hiyo unaoendelea katika Mji wa Serikali, Mtumba, Dodoma.
  • Item type:Item, Access status: Open Access ,
    Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi akiwa kwenye picha ya pamoja na wajumbe wa Menejimenti ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Mkandarasi - Suma JKT
    (OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2026-01-28) OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI
    Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi akiwa kwenye picha ya pamoja na wajumbe wa Menejimenti ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Mkandarasi - Suma JKT na mshauri elekezi, TBA baada ya ziara yake ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la Ofisi hiyo unaoendelea katika Mji wa Serikali, Mtumba, Dodoma.
  • Item type:Item, Access status: Open Access ,
    Muonekano wa jengo la Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali linaloendelea kujengwa katika Mji wa Serikali, Mtumba, Dodoma
    (OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2026-01-28) OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI
    Muonekano wa jengo la Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali linaloendelea kujengwa katika Mji wa Serikali, Mtumba, Dodoma
  • Item type:Item, Access status: Open Access ,
    Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi akizungumza na mkandarasi, Meneja Ujenzi Kanda ya Mashariki wa SUMA JKT, Kanali Saul Chiwanga
    (OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2026-01-28) OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI
    Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi akizungumza na mkandarasi, Meneja Ujenzi Kanda ya Mashariki wa SUMA JKT, Kanali Saul Chiwanga kuhusu ujenzi wa jengo la Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali unaoendelea wakati wa ziara yake ya kukagua jengo hilo Mji wa Serikali, Mtumba, Dodoma.
  • Item type:Item, Access status: Open Access ,
    Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi akitoa maelekezo kwa Kaimu Meneja Miradi wa TBA, ndugu Daniel Nkruma
    (OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2026-01-28) OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI
    Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi akitoa maelekezo kwa Kaimu Meneja Miradi wa TBA, ndugu Daniel Nkruma anayesimamia ujenzi wa jengo la Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakati wa ziara yake ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo hilo Mji wa Serikali, Mtumba, Dodoma.
  • Item type:Item, Access status: Open Access ,
  • Item type:Item, Access status: Open Access ,
    Baadhi ya wajumbe wa menejimenti ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakijitambulisha kabla ya kikao
    (OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2026-01-28) OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI
    Baadhi ya wajumbe wa menejimenti ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakijitambulisha kabla ya kikao cha kutathmini utendaji kazi wa Ofisi hiyo kilichofanyika jijini Dodoma