The United Republic of Tanzania

Office of the Solicitor General

e-Library

Welcome to the Office of Solicitor General e-Library

The OSG e-Library is a comprehensive digital platform dedicated to the collection, preservation, and dissemination of critical legal information. It serves as an essential resource for legal research in civil litigation, equipping users with timely and relevant legal updates through the Current Awareness Service (CAS). Additionally, it enriches the legal repository with a wide range of e-publications, including constitutions, statutes, and other pivotal legal documents, ensuring seamless access to authoritative legal resources.

Recent Submissions

  • Item type:Item, Access status: Open Access ,
    Bi. Alice Mtulo Naibu Wakili Mkuu wa Serikali (aliyeketi katikati), akiwa kwenye picha ya pamoja na Kamati ya Maandalizi baada ya kufunga mafunzo kuhusu Afya ya Akili
    (OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2026-03-06) OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI
    Bi. Alice Mtulo Naibu Wakili Mkuu wa Serikali (aliyeketi katikati), akiwa kwenye picha ya pamoja na Kamati ya Maandalizi baada ya kufunga mafunzo kuhusu Afya ya Akili ikiwa ni shamrashara kuelekea maadhimisho ya siku ya wanawake yaliyofanyika Jijini Dar es Salaam.
  • Item type:Item, Access status: Open Access ,
    Bi. Alice Mtulo Naibu Wakili Mkuu wa Serikali (aliyeketi katikati), akiwa kwenye picha ya pamoja na Wanawake wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali baada ya kufungua mafunzo kuhusu Afya ya Akili
    (OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2026-03-06) OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI
    Bi. Alice Mtulo Naibu Wakili Mkuu wa Serikali (aliyeketi katikati), akiwa kwenye picha ya pamoja na Wanawake wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali baada ya kufungua mafunzo kuhusu Afya ya Akili ikiwa ni shamrashara kuelekea maadhimisho ya siku ya wanawake yaliyofanyika Jijini Dar es Salaam.
  • Item type:Item, Access status: Open Access ,
    Bi. Alice Mtulo Naibu Wakili Mkuu wa Serikali (aliyeketi katikati), akiwa kwenye picha ya pamoja na Malikia wa nguvu Bi. Stella Machoke na vingozi wa Tughe tawi la Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali
    (OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2026-03-06) OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI
    Bi. Alice Mtulo Naibu Wakili Mkuu wa Serikali (aliyeketi katikati), akiwa kwenye picha ya pamoja na Malikia wa nguvu Bi. Stella Machoke na vingozi wa Tughe tawi la Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali baada ya kukabidhi hundi kwa Malkia huyo na kufungua mafunzo kuhusu Afya ya Akili ikiwa ni shamrashara kuelekea maadhimisho ya siku ya wanawake yaliyofanyika Jijini Dar es Salaam.
  • Item type:Item, Access status: Open Access ,
    Bi. Alice Mtulo Naibu Wakili Mkuu wa Serikali (aliyesimama Kulia) akimkabidhi hundi Malkia wa Nguvu wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali Bi. Stella Machoke
    (OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2026-03-06) OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI
    Bi. Alice Mtulo Naibu Wakili Mkuu wa Serikali (aliyesimama Kulia) akimkabidhi hundi Malkia wa Nguvu wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali Bi. Stella Machoke
  • Item type:Item, Access status: Open Access ,
    Wanawake wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, wakimsikiliza Bi. Alice Mtulo Naibu Wakili Mkuu wa Serikali (hayupo pichani) wakati wa mafunzo
    (OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2026-03-06) OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI
    Wanawake wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, wakimsikiliza Bi. Alice Mtulo Naibu Wakili Mkuu wa Serikali (hayupo pichani) wakati wa mafunzo kuhusu Afya ya Akili yaliyofanyika Jijini Dar es Salaam.
  • Item type:Item, Access status: Open Access ,
    Bi. Vaileth Ndosi Mkurugenzi Mtendaji Conscious Mind Corporation akitoa mada kuhusu Afya ya Akili kwa Wanawake wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali
    (OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2026-03-06) OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI
    Bi. Vaileth Ndosi Mkurugenzi Mtendaji Conscious Mind Corporation akitoa mada kuhusu Afya ya Akili kwa Wanawake wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali yaliyofanyika Jijini Dar es Salaam.
  • Item type:Item, Access status: Open Access ,
    Ndugu Festo Nyakunga Katibu wa Tughe tawi la Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali akitoa salamu za Chama hicho wakati wa mafunzo
    (OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2026-03-06) OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI
    Ndugu Festo Nyakunga Katibu wa Tughe tawi la Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali akitoa salamu za Chama hicho wakati wa mafunzo kuhusu Afya ya Akili ikiwa ni shamrashara kuelekea maadhimisho ya siku ya wanawake yaliyofanyika Jijini Dar es Salaam.
  • Item type:Item, Access status: Open Access ,
    Bi. Stella Machoke Wakili wa Serikali Mkuu na Malkia wa Nguvu wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, akimsikiliza Bi. Alice Mtulo Naibu Wakili Mkuu wa Serikali (hayupo pichani)
    (OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2026-03-06) OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI
    Bi. Stella Machoke Wakili wa Serikali Mkuu na Malkia wa Nguvu wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, akimsikiliza Bi. Alice Mtulo Naibu Wakili Mkuu wa Serikali (hayupo pichani) wakati wa mafunzo kuhusu afya ya akili yaliyofanyika Jijini Dar es Salaam.