The United Republic of Tanzania

Office of the Solicitor General

e-Library

Welcome to the Office of Solicitor General e-Library

The OSG e-Library is a comprehensive digital platform dedicated to the collection, preservation, and dissemination of critical legal information. It serves as an essential resource for legal research in civil litigation, equipping users with timely and relevant legal updates through the Current Awareness Service (CAS). Additionally, it enriches the legal repository with a wide range of e-publications, including constitutions, statutes, and other pivotal legal documents, ensuring seamless access to authoritative legal resources.

Recent Submissions

  • Item type:Item, Access status: Open Access ,
    Naibu Wakili Mkuu Atembelea Banda la Tume ya Haki za Binadamu Sabasaba
    (OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2026) OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI
  • Item type:Item, Access status: Open Access ,
    Naibu Wakili Mkuu wa Serikali na Watumishi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wakati wa maonesho ya sabasaba
    (OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2026)
    Naibu Wakili Mkuu wa Serikali Bi. Alice Mtulo (aliyesimama katikati) akiwa pamoja na watumishi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wakati wa Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) yanayoendelea Jijini Dar es Salaam.
  • Item type:Item, Access status: Open Access ,
    Naibu Wakili Mkuu wa Serikali Akisaini kitabu cha wageni katika Banda la Wizara ya Katiba na Sheria
    (OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2026) OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI
    Naibu Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Alice Mtulo akisaini kitabu cha wageni baada ya kuwasili kwenye banda la Maonesho la Wizara ya Katiba na Sheria wakati wa Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) yanayoendelea Jijini Dar es Salaam.
  • Item type:Item, Access status: Open Access ,
    Naibu Wakili Mkuu wa Serikali Akipokea Zawadi Alipotembelea banda la Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali
    (OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2026) OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI
    Naibu Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Alice Mtulo (aliyesimama kushoto) akipokea zawadi kutoka kwa Mkurugenzi wa Uratibu na Huduma za Kisheria wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali Bi. Neema Ringo alipotembelea banda la Maonesho la Ofisi hiyo wakati wa Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) yanayoendelea Jijini Dar es Salaam.
  • Item type:Item, Access status: Open Access ,
    Naibu Wakili Mkuu Atembelea Banda la JMAT Sabasaba
    (OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2026) OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI
    Naibu Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Alice Mtulo akizungumza na viongozi wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT) alipowasili kwenye viwanja vya Maonesho ya Kimataifa vya Mwalimu Nyerere kutembelea Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) yanayoendelea Jijini Dar es Salaam.
  • Item type:Item, Access status: Open Access ,
    THE FINANCE ACT, NO. 2 OF 2026
    (The Government Printer, Dodoma by Order of Government, 2026-06-30) BARAKA ILDEPHONCE LEONARD
    An Act to impose and alter certain taxes, duties, levies, fees and to amend certain written laws relating to collection and management of public revenues.
  • Item type:Item, Access status: Open Access ,
    THE APPROPRIATION ACT, 2026
    (The Government Printer, Dodoma by Order of Government, 2026-06-30) BARAKA ILDEPHONCE LEONARD
    An Act to apply a sum of Sixty-Two Trillion, Three Hundred Thirty-Four Billion, One Hundred Ninety-Three Million, Two Hundred Twenty-Seven Thousand and Eight Hundred Shillings out of the Consolidated Fund to the Service of the year ending on the thirtieth day of June, 2027; to appropriate the supply granted.
  • Item type:Item, Access status: Open Access ,
    JARIDA LA WAKILI MKUU: TOLEO LA KUMI NA SITA
    (OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2026) OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI
    Toleo la Kumi na Sita la Jarida la Wakili Mkuu limeangazia mambo muhimu yaliyotekelezwa katika kipindi cha mwezi Desemba, 2025 hadi Machi, 2026. Jarida hili limeangazia mafanikio ya utekelezaji wa majukumu ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali ikiwemo taarifa ya mafanikio ya Siku 100 za kipindi cha awamu ya pili ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.