Photos
Browse by
Recent Submissions
-
Kaimu Mkuu wa Kitengo cha maktaba na utafiti Ndugu Kiuye Shemakame akifundisha namna ya kutumia E-Library kwa watumisha wa OWMS Dodoma
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-05-12)Watumishi wa OWMS Dodoma wafundishwa namna ya kutumia E-Library na Kaimu Mkuu wa Kitengo cha maktaba na utafiti Ndugu Kiuye Shemakame alipowatembelea hapo ofisini Dodoma. -
Watumishi wa OWMS Dodoma wakifundishwa namna ya kutumia e-library na Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Maktaba na Utafiti Ndugu kiuye Shemakame
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-05-12)Watumishi wa OWMS Dodoma wafundishwa namna ya kutumia E-Library na Kaimu Mkuu wa Kitengo cha maktaba na utafiti Ndugu Kiuye Shemakame alipowatembelea hapo ofisini Dodoma. -
Wakili Mkuu wa Serikali Dkt. Ally Possi (aliyesimama kulia) akijadiliana jambo na Katibu Mkuu wa Mali Asili na utalii (aliyesimama kushoto)
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-05-03)Wakili Mkuu wa Serikali Dkt. Ally Possi (aliyesimama kulia) akijadiliana jambo na Katibu Mkuu wa Mali Asili na utalii (aliyesimama kushoto) pamoja na Naibu Wakili Mkuu wa Serikali Bi. Alice Mtulo (aliyesimama katikati) ... -
Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Usuluhishi wa Ndani wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali Ndugu David Kakwaya
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-05-03)Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Usuluhishi wa Ndani wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali Ndugu David Kakwaya akichangia mada kuhusu Mawasliano ya Kimkakati Serikalini wakati wa kikao hicho kilichofanyika mkoani Morogoro. -
Baadhi ya Wajumbe wa Menejimenti ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakimsikiliza Mtalaamu wa Uongozi, Bi. Zuhura Muro
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-05-03)Baadhi ya Wajumbe wa Menejimenti ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakimsikiliza Mtalaamu wa Uongozi, Bi. Zuhura Muro wakati akitoa mada kuhusu Uongozi, Akili Hisia na Kushughulikia Msongo wa Mawazo wakati wa kikao cha ... -
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Usimamizi wa Mashauri na Udhibiti Ubora, ndugu Camilius Ruhinda akizungumza na wajumbe wa Menejimenti ya Ofisi ya Wakili Mkuu
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-05-03)Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Usimamizi wa Mashauri na Udhibiti Ubora, ndugu Camilius Ruhinda akizungumza na wajumbe wa Menejimenti ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakati wa kikao cha Faragha kwa viongozi hao kilichofanyika ... -
Naibu Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Alice Mtulo akimsikiliza Balozi Peter Kallaghe (hayupo pichani) wakati akitoa mada kuhusu Masuala ya Itifaki
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-05-03)Naibu Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Alice Mtulo akimsikiliza Balozi Peter Kallaghe (hayupo pichani) wakati akitoa mada kuhusu Masuala ya Itifaki Kwenye kikao cha Faragha kwa Wajumbe wa Menejimenti ya Ofisi ya Wakili Mkuu ... -
Mtaalamu wa Masuala ya Uongozi, Bi. Zuhura Muro akitoa mada kuhusu Uongozi, Akili Hisia na Kushughulikia Msongo wa Mawazo
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-05-03)Mtaalamu wa Masuala ya Uongozi, Bi. Zuhura Muro akitoa mada kuhusu Uongozi, Akili Hisia na Kushughulikia Msongo wa Mawazo wakati wa kikao cha Faragha kwa Wajumbe wa Menejimenti ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali kilichofanyika ... -
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbas akitoa mada kuhusu Mawasiliano ya Kimkakati Serikalini
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-05-03)Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbas akitoa mada kuhusu Mawasiliano ya Kimkakati Serikalini wakati wa kikao cha Faragha kwa Wajumbe wa Menejimenti ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali kilichofanyika ... -
Mhe. Balozi Mstaafu, Peter Kallaghe akitoa mada kuhusu Itifaki kwenye kikao cha Faragha kwa Wajumbe wa Menejimenti ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-05-03)Mhe. Balozi Mstaafu, Peter Kallaghe akitoa mada kuhusu Itifaki kwenye kikao cha Faragha kwa Wajumbe wa Menejimenti ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali kilichofanyika mkoani Morogoro. -
Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi akizungumza na Wajumbe wa Menejimenti ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-05-03)Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi akizungumza na Wajumbe wa Menejimenti ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali kwenye siku ya pili ya Kikao cha Faragha kwa viongozi hao kilichofanyika mkoani Morogoro -
Baadhi ya Watumishi wa Umma walioshiriki Maadhimisho ya Sherehe za Mei Mosi wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-05-01)Baadhi ya Watumishi wa Umma walioshiriki Maadhimisho ya Sherehe za Mei Mosi wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt.Samia Suluhu Hassan (hayupo pichani) wakati wa Maadhimisho yaliyofanyika mkoani Singida. -
Mtumishi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Ndugu Godwin Rubagumya akiendelea na shamrashamra za Siku ya Wafanyakazi
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-05-01)Mtumishi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Ndugu Godwin Rubagumya akiendelea na shamrashamra za Siku ya Wafanyakazi wakati wa Maadhimisho ya sherehe hizo yaliyofamyika mkoani Singida. -
Baadhi ya Watumishi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakipita kwa maandamano mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (hayupo pichani)
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-05-01)Baadhi ya Watumishi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakipita kwa maandamano mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (hayupo pichani) wakati wa Sherehe za Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi (Mei Mosi) yaliyofanyika ... -
Naibu Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Alice Mtulo akimsikilizaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan (Hayupo pichani)
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-05-01)Naibu Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Alice Mtulo akimsikilizaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan (Hayupo pichani) wakati wa Sherehe za Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi (Mei Mosi) yaliyofanyika ... -
Rais wa Jamhuri ya Muungao wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Watumishi wa Umma pamoja na wananchi
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-05-01)Rais wa Jamhuri ya Muungao wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Watumishi wa Umma pamoja na wananchi wakati wa Sherehe za Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi (Mei Mosi) yaliyofanyika mkoani Singida. -
Msajili wa Mahakama ya Tanzania, Bi. Eva Nkya akimkabidhi cheti cha ushiriki wa Maadhimisho ya Wiki ya Sheria
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-05-12)Msajili wa Mahakama ya Tanzania, Bi. Eva Nkya akimkabidhi cheti cha ushiriki wa Maadhimisho ya Wiki ya Sheria, Wakili wa Serikali wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, ndugu Salehe Manoro wakati wa maadhimisho hayo yanayoendelea ... -
Wakili Mkuu wa Serikali Dkt. Ally Possi akiwa na watumishi wa Ofisi ya Wakili
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-05-12)Wakili Mkuu wa Serikali Dkt. Ally Possi akiwa na watumishi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali kwenye banda la Ofisi hiyo alipotembelea Maadhimisho ya Wiki ya Sheria yanayoendelea Jijijni Dodoma. -
Wakili Mkuu wa Serikali Dkt. Ally Possi akisaini vitabu vya Taasisi zinazoshiriki Maadhimisho ya Wiki ya Sheria
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-05-12)Wakili Mkuu wa Serikali Dkt. Ally Possi akisaini vitabu vya Taasisi zinazoshiriki Maadhimisho ya Wiki ya Sheria baada ya kutembelea mabanda ya maonesho ya Taasisi hizo kwa lengo la kuona namna Taasisi hizo zinavyotekeleza ... -
Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi akimsikiliza Afisa Uchunguzi Mkuu wa Tume ya Haki za Binadamu Bi. Eugenia Lohay
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-05-12)Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi akimsikiliza Afisa Uchunguzi Mkuu wa Tume ya Haki za Binadamu Bi. Eugenia Lohay alipotembelea banda la Ofisi hiyo wakati wa Maadhimisho ya Wiki ya Sheria yanayoendelea Jijini Dodoma.