LEGISLATIONS: Recent submissions
Now showing items 21-40 of 531
-
THE SOCIAL SECURITY (USE OF MEMBERS BENEFIT ENTITLEMENTS AS COLLATERAL FOR HOME MORTGAGE) (AMENDMENT) REGULATIONS, 2025 GOVERNMENT NOTICE No. 47 OF 2025
(GOVERNMENT PRINTER DODOMA, 2024-01-24)These Regulations may be cited as the Social Security (Use of Members Benefit Entitlements as Collateral for Home Mortgage) (Amendment) Regulations, 2025 and shall be read as one with the Social Security (Use of Members ... -
SHERIA NDOGO YA MAREKEBISHO YA SHERIA NDOGO YA USAFI WA MAZINGIRA YA HALMASHAURI YA MJI WA HANDENI YA MWAKA 2025 TANGAZO LA SERIKALI Na. 46 LA 2025
(GOVERNMENT PRINTER DODOMA, 2025-01-24)Sheria Ndogo hii itajulikana kama Sheria Ndogo ya Marekebisho ya Sheria Ndogo ya Usafi wa Mazingira ya Halmashauri ya Mji wa Handeni ya Mwaka 2025, na itasomwa kwa pamoja na Sheria Ndogo ya Usafi wa Mazingira ya Halmashauri ... -
SHERIA NDOGO YA USIMAMIZI NA MATUMIZI YA BARABARA YA HALMASHAURI YA MJI WA HANDENI YA MWAKA 2025, TANGAZO LA SERIKALI Na. 45 LA 2025
(GOVERNMENT PRINTER DODOMA, 2025-01-24)Sheria Ndogo hii itajulikana kama Sheria Ndogo ya Usimamizi na Matumizi ya Barabara ya Halmashauri ya Mji wa Handeni ya Mwaka 2025. -
SHERIA NDOGO YA USHURU WA MAEGESHO YA HALMASHAURI YA MJI WA HANDENI YA MWAKA 2025, TANGAZO LA SERIKALI Na. 44 LA 2025
(GOVERNMENT PRINTER DODOMA, 2025-01-24)Sheria Ndogo hii itajulikana kama Sheria Ndogo ya Ushuru wa Maegesho ya Halmashauri ya Mji wa Handeni ya Mwaka 2025. -
SHERIA NDOGO YA UDHIBITI NA USIMAMIZI WA MIFUGO YA HALMASHAURI YA JIJI LA DAR ES SALAAM YA MWAKA 2025, TANGAZO LA SERIKALI Na. 43 LA 2025
(GOVERNMENT PRINTER DODOMA, 2025-01-24)Sheria Ndogo hii itajulikana kama Sheria Ndogo ya Udhibiti na Usimamizi wa Mifugo ya Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam ya Mwaka 2025. -
KANUNI ZA MAREKEBISHO YA KANUNI ZA UNUNUZI WA UMMA ZA MWAKA 2025, TANGAZO LA SERIKALI NA. 42 LA 2025
(GOVERNMENT PRINTER DODOMA, 2025-01-24)Kanuni hizi zitajulikana kama Kanuni za Marekebisho ya Kanuni za Ununuzi wa Umma za Mwaka 2025 na zitasomwa pamoja na Kanuni za Ununuzi wa Umma, za Mwaka 2024 ambazo katika Kanuni hizi zinarejewa kama “Kanuni kuu” -
AMRI YA MSAMAHA WA USHURU WA BIDHAA WA MAGARI 5 YA MRADI WA USAID - AFYA ANGU WA M/S DELOITTE CONSULTING LIMITED, TANGAZO LA SERIKALI Na. 41 LA 2025
(GOVERNMENT PRINTER DODOMA, 2025-01-24)Amri hii itajulikana kama Amri ya Msamaha wa Ushuru wa Bidhaa wa Magari 5 ya Mradi wa USAID - Afya Yangu wa Deloitte Consulting Limited na itachukuliwa kuwa imeanza kutumika kuanzia tarehe 11 Oktoba 2025. -
AMRI YA MSAMAHA WA USHURU WA BIDHAA KWA GARI MOJA LINALOINGIZWA NCHINI NA WAWAKILISHI WA SHIRIKA LA WAKIMBIZI DUNIANI NCHINI TANZANIA YA MWAKA 2025 TANGAZO LA SERIKALI Na. 40 LA 2025
(GOVERNMENT PRINTER DODOMA, 2025-01-24)Amri hii itajulikana kama Amri ya Msamaha wa Ushuru wa Bidhaa kwa Gari Moja linaloingizwa na Shirika la Wakimbizi Duniani nchini Tanzania ya mwaka 2025 itachukuliwa kuwa imeanza kutumika tarehe 31 Oktoba, 2024. -
AMRI YA MSAMAHA WA USHURU WA BIDHAA KWA MAGARI MAWILI YANAYOINGIZWA NCHINI NA WAKALA WA HUDUMA ZA MISITU TANZANIA (TFS) KATIKA MRADI WA KUJENGA USTAHIMILIVU WA BIONUAI YA MISITU DHIDI YA MATISHIO YA MABADILIKO YA TABIA YA NCHI YA MWAKA 2024 TANGAZO LA SERIKALI Na. 39 LA 2025
(GOVERNMENT PRINTER DODOMA, 2025-01-24)Amri hii itajulikana kama Amri ya Msamaha wa Ushuru wa Bidhaa kwa Magari Mawili yanayoingizwa na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) katika Mradi wa Kujenga Ustahimilivu wa Bionuai ya Misitu dhidi ya Matishio ya ... -
THE TOURISM (FEES AND CHARGES) (AMENDEMENT) REGULATIONS, 2024, GOVERNMENT NOTICE No. 38 OF 2025
(GOVERNMENT PRINTER DODOMA, 2025-01-24)These Regulations may be cited as the Tourism (Fees and Charges) (Amendment) Regulations, 2025 and shall be read as one with the Tourism (Fees and Charges) Regulations 2015, hereinafter referred to as the “principal Regulations”. -
THE EXCISE (MANAGEMENT AND TARIFF) (REMISSION OF FIVE MOTOR VEHICLES FOR USAID - AFYA YANGU PROJECT) (M/S DELOITTE CONSULTING LIMITED), GOVERNMENT NOTICE No. 37 OF 2025
(GOVERNMENT PRINTER DODOMA, 2025-01-17)This Order may be cited as the Excise (Management and Tariff) (Remission of Five Motor vehicles for USAID - Afya Yangu Project) (M/S Deloitte Consulting Limited) Order, 2025 and shall be deemed to have come into operation ... -
THE MINISTERS (ASSIGNMENT OF MINISTERIAL FUNCTIONS) (AMENDMENT) NOTICE, GOVERNMENT NOTICE No. 36 OF 2025
(GOVERNMENT PRINTER DODOMA, 2025-01-17)This Notice may be cited as the Ministers (Assignment of Ministerial Functions) (Amendment) Notice, 2025 and shall be read as one with the Ministers (Assignment of Ministerial Functions) Notice, 2023, hereinafter referred ... -
THE ESTABLISHMENT OF MINISTERS’ OFFICES (AMENDMENT) INSTRUMENT, GOVERNMENT NOTICE No. 35 OF 2025
(GOVERNMENT PRINTER DODOMA, 2025-01-17)This Instrument may be cited as the Establishment of Ministers’ Offices (Amendment) Instrument, 2025 and shall be read as one with the Establishment of Ministers’ Offices Instrument, 2023, hereinafter referred to as the ... -
MAREKEBISHO YA KANUNI ZA KINGA YA MIONZI IONISHI NA ISIYO IONISHI ZA MWAKA 2025 TANGAZO LA SERIKALI Na. 34 LA 2025
(GOVERNMENT PRINTER DODOMA, 2025-01-17)Kanuni hizi zitajulikana kama Kanuni za Marekebisho ya Kanuni za Kinga ya Mionzi Ionishi na Isiyo Ionishi za Mwaka 2025 na zitasomwa pamoja na Kanuni za Kinga ya Mionzi Ionishi na Isiyo Ionishi za Mwaka 2023 ambazo katika ... -
THE ATOMIC ENERGY (PROTECTION FROM IONIZING AND NON-IONIZING RADIATION) (AMENDMENT) REGULATIONS, 2025 GOVERNMENT NOTICE No. 33 OF 2025
(GOVERNMENT PRINTER DODOMA, 2025-01-17)These Regulations may be cited as the Atomic Energy (Protection from Ionizing and Non-Ionizing Radiation) (Amendment) Regulations, 2025 and shall be read as one with the Atomic Energy (Protection from Ionizing and Non-Ionizing ... -
MAREKEBISHO YA SHERIA NDOGO YA HIFADHI YA MAZINGIRA YA HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA YA MWAKA 2025 TANGAZO LA SERIKALI Na. 32 LA 2025
(GOVERNMENT PRINTER DODOMA, 2025-01-17)Sheria Ndogo hii itajulikana kama Marekebisho ya Sheria Ndogo ya Hifadhi ya Mazingira ya Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba ya Mwaka 2025, na itasomwa pamoja na Sheria Ndogo ya Hifadhi ya Mazingira ya Halmashauri ya Wilaya ... -
MAREKEBISHO YA SHERIA NDOGO YA USAFI, AFYA NA HIFADHI YA MAZINGIRA YA HALMASHAURI YA WILAYA YA ARUSHA YA MWAKA 2025 Tangazo la Serikali Na.31 (Linaendelea.) TANGAZO LA SERIKALI Na. 31 LA 2025
(GOVERNMENT PRINTER DODOMA, 2025-01-17)Sheria Ndogo hii itajulikana kama Marekebisho ya Sheria Ndogo ya Usafi, Afya na Hifadhi ya Mazingira ya Halmashauri ya Wilaya ya Arusha ya Mwaka 2025, na itasomwa pamoja na Sheria Ndogo ya Usafi, Afya na Hifadhi ya Mazingira ... -
MAREKEBISHO YA SHERIA NDOGO YA USAFI WA MAZINGIRA YA HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO YA MWAKA 2025 TANGAZO LA SERIKALI Na. 30 LA 2025
(GOVERNMENT PRINTER DODOMA, 2025-01-17)Sheria Ndogo hii itajulikana kama Marekebisho ya Sheria Ndogo ya Usafi wa Mazingira ya Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo ya Mwaka 2025, na itasomwa pamoja na Sheria Ndogo ya Usafi wa Mazingira ya Halmashauri ya Wilaya ya ... -
MAREKEBISHO YA SHERIA NDOGO YA UDHIBITI NA USIMAMIZI WA MIFUGO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YA 2025 TANGAZO LA SERIKALI Na. 29 LA 2025
(GOVERNMENT PRINTER DODOMA, 2025-01-17)Sheria Ndogo hii itajulikana kama Marekebisho ya Sheria Ndogo ya Udhibiti na Usimamizi wa Mifugo ya Halmashauri ya Wilaya ya Liwale ya Mwaka 2025, na itasomwa pamoja na Sheria Ndogo ya Udhibiti na Usimamizi wa Mifugo ya ... -
MAREKEBISHO YA SHERIA NDOGO YA USHURU WA MASOKO NA MAGULIO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA YA MWAKA 2025 Tangazo la Serikali Na.28 (Linaendelea.) TANGAZO LA SERIKALI Na. 28 LA 2025
(GOVERNMENT PRINTER DODOMA, 2025-01-17)Sheria Ndogo hii itajulikana kama Marekebisho ya Sheria Ndogo ya Ushuru wa Masoko na Magulio ya Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba ya Mwaka 2025, na itasomwa pamoja na Sheria Ndogo ya Ushuru wa Masoko na Magulio ya Halmashauri ...