• Login
    • LMS OPAC
    Tanzania emblem
    The United Republic of Tanzania

    Office of The Solicitor General

    eLibrary
    NDC Logo
    View Item 
    •   OSG Library Home
    • LEGISLATIONS
    • Tanzania Legislation
    • Subsidiary Legislation
    • Subsidiary Legislation
    • View Item
    •   OSG Library Home
    • LEGISLATIONS
    • Tanzania Legislation
    • Subsidiary Legislation
    • Subsidiary Legislation
    • View Item
    JavaScript is disabled for your browser. Some features of this site may not work without it.

    KANUNI ZA MAADILI YA UCHAGUZI WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI (Tangazo la Serikali Na. 249 la mwaka 2025)

    Thumbnail
    View/Open
    KANUNI ZA MAADILI YA UCHAGUZI WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI (Tangazo la Serikali Na. 249 la mwaka 2025) (688.3Kb)
    Date
    2025-04-18
    Author
    MWAMBEGELE, JACOBS C.M.
    Metadata
    Show full item record
    Abstract
    Uchaguzi wa haki, huru, amani na wa kuaminika hutegemea ushirikiano na uadilifu wa wadau muhimu wa uchaguzi katika kutekeleza wajibu wao wakati wa kuendesha kampeni na zoezi la uchaguzi. Kwa kuzingatia kifungu cha 162 cha Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani Na. 1 ya Mwaka 2024, Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kwa kushauriana na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na vyama vyote vya siasa imeandaa Kanuni za Maadili ya Uchaguzi kwa lengo la kuweka msingi unaopaswa kuzingatiwa na washiriki wa uchaguzi pamoja na hatua za kinidhamu zinazoweza kuchukuliwa kwa atakayekiuka Kanuni hizi.
    URI
    https://elibrary.osg.go.tz/handle/123456789/1837
    Collections
    • Subsidiary Legislation [189]

    OSG Copyright © 2025  LIBRARY
    Contact Us | Send Feedback
     

     

    Browse

    All of OSG LibraryCommunities & CollectionsBy Issue DateAuthorsTitlesSubjectsThis CollectionBy Issue DateAuthorsTitlesSubjects

    My Account

    LoginRegister

    OSG Copyright © 2025  LIBRARY
    Contact Us | Send Feedback