Photos: Recent submissions
Now showing items 121-140 of 150
-
Jaji wa Mahakama ya Biashara Tanzania, Mhe. Dkt. Deo Nangela akisaini kitabu cha wageni alipotembelea banda la maonesho la Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2023-10-25)Jaji wa Mahakama ya Biashara Tanzania, Mhe. Dkt. Deo Nangela akisaini kitabu cha wageni alipotembelea banda la maonesho la Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakati wa mkutano wa Majaji Wakuu wa Nchi za Kusini na Mashariki ... -
Mkurugenzi Msaidizi wa Udhibiti Ubora wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Mercy Kyamba akifafanua jambo kwa Jaji wa Mahakama ya Rufani Tanzania, Mhe. Augustine Mwarija
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2023-10-25)Mkurugenzi Msaidizi wa Udhibiti Ubora wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Mercy Kyamba akifafanua jambo kwa Jaji wa Mahakama ya Rufani Tanzania, Mhe. Augustine Mwarija alipotembelea banda la maonesho la Ofisi hiyo wakati ... -
Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania (Arusha), Mhe. Nyigulila Mwaseba akisaini kitabu cha wageni.
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2023-10-25)Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania (Arusha), Mhe. Nyigulila Mwaseba akisaini kitabu cha wageni alipotembelea banda la maonesho la Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakati wa mkutano wa Majaji Wakuu wa Nchi za Kusini na Mashariki ... -
Jaji Mkuu wa Malawi, Mhe. Rizine Mzikamanda akisaini kitabu cha wageni
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2023-10-25)Jaji Mkuu wa Malawi, Mhe. Rizine Mzikamanda akisaini kitabu cha wageni alipotembelea banda la maonesho la Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakati wa mkutano wa Majaji Wakuu wa Nchi za Kusini na Mashariki mwa Afrika unaofanyika ... -
Jaji wa Shelisheli na Mhe. Blastol Adeline akifurahia uwepo wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali nchini Tanzania
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2023-10-25)Jaji wa Shelisheli, Mhe. Blastol Adeline aliyesimama pembeni mwa aliyeambatana nae akifurahia uwepo wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali nchini Tanzania tofauti na nchini kwao alipotembelea banda la maonesho la Ofisi hiyo ... -
Mkurugenzi Msaidizi wa Udhibiti Ubora wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Mercy Kyamba akifafanua jambo kwa Mwakilishi wa Tume ya VENICE wa Italy
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2023-10-25)Mkurugenzi Msaidizi wa Udhibiti Ubora wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Mercy Kyamba akifafanua jambo kwa Mwakilishi wa Tume ya VENICE wa Italy na Ufaransa, Qianni Buqvicchio alipotembelea banda la maonesho la Ofisi ... -
Jaji Kiongozi, Mhe. Mustapher Siyani akimsikiliza Mkurugenzi Msaidizi wa Udhibiti Ubora wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikal
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2023-10-25)Jaji Kiongozi, Mhe. Mustapher Siyani akimsikiliza Mkurugenzi Msaidizi wa Udhibiti Ubora wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Mercy Kyamba akimpa maelezo kuhusu utendaji wa Ofisi hiyo alipotembelea banda la maonesho la Ofisi ... -
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Menejimenti ya Kesi na Udhibiti Ubora, Alice Mtulo (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya watumishi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2023-10-23)Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Menejimenti ya Kesi na Udhibiti Ubora, Alice Mtulo (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya watumishi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali kwenye banda la maonesho la Ofisi hiyo ... -
Mkurugenzi Msaidizi wa Mashauri ya Katiba, Haki za Binadamu na Uchaguzi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Hangi Chang’a akikabidhi Jarida la Ofisi kwa Alicia Mbuya kwenye banda, Arusha
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2023-10-23)Mkurugenzi Msaidizi wa Mashauri ya Katiba, Haki za Binadamu na Uchaguzi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Hangi Chang’a akikabidhi Jarida la Ofisi hiyo kwa Alicia Mbuya aliyewahi kushika nafasi hiyo wakiwa kwenye banda ... -
Mkurugenzi Msaidizi wa Mashauri ya Katiba, Haki za Binadamu na Uchaguzi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Hangi Changá (kulia) na Alicia Mbuya, (katikati) akiwa na Mercy Kyamba, Mkurugenzi Msaidizi Udhibiti Ubora.
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2023-10-23)Mkurugenzi Msaidizi wa Mashauri ya Katiba, Haki za Binadamu na Uchaguzi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Hangi Changá (kulia) akiwa kwenye picha ya pamoja na Alicia Mbuya aliyewahi kushika nafasi hiyo (katikati) akiwa ... -
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Menejimenti ya Kesi na Udhibiti Ubora, Alice Mtulo akiwa na Mkurugenzi Msaidizi wa Mashauri ya Katiba, Haki za Binadamu na Uchaguzi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2023-10-23)Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Menejimenti ya Kesi na Udhibiti Ubora, Alice Mtulo akiwa na Mkurugenzi Msaidizi wa Mashauri ya Katiba, Haki za Binadamu na Uchaguzi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakihudhuria mkutano wa ... -
Mkurugenzi wa Mashataka, Slyvester Mwakitalu akiweka saini
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2023-10-23)Mkurugenzi wa Mashataka, Slyvester Mwakitalu akiweka saini kwenye kitabu cha wageni alipotembelea banda la maonesho la Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali kwenye mkutano wa Jukwaa la Majaji Wakuu wa Nchi za Kusini na Mashariki ... -
Mkurugenzi wa Mashataka, Slyvester Mwakitalu akiweka saini
(OFFICE OF THE SOLICITOR GENERAL, 2023-10-23)Mkurugenzi wa Mashataka, Slyvester Mwakitalu akiweka saini kwenye kitabu cha wageni alipotembelea banda la maonesho la Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali kwenye mkutano wa Jukwaa la Majaji Wakuu wa Nchi za Kusini na Mashariki ... -
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Juma
(OWMS, 2023-10-23)Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akifungua mkutano wa Jukwaa la Majaji Wakuu wa Nchi za Kusini na Mashariki mwa Afrika unaofanyika Arusha. Kulia ni Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, ... -
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akifungua mkutano
(OWMS, 2023-10)Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akifungua mkutano wa Jukwaa la Majaji Wakuu wa Nchi za Kusini na Mashariki mwa Afrika unaofanyika Arusha -
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana (Mb) akisaini kitabu cha wageni kwenye Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali.
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2023-09-13)Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana (Mb) akisaini kitabu chawageni kwenye Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Boniphace Luhende (hayupo pichani) mara baada ya kuwasili katika Ofisi ya Wakili Mkuu ... -
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe Balozi Dkt. Pindi Chana (Mb) akipokea jarida, nyaraka na zawadi kutoka kwa Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Boniphace Luhende
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2023-09-13)Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe Balozi Dkt. Pindi Chana (Mb) akipokea jarida, nyaraka na zawadi kutoka kwa Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Boniphace Luhende. alipotembelea Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali Jijini Dar es Salaam ... -
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe Balozi Dkt. Pindi Chana (Mb) akipata maelezo kutoka kwa Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Boniphace Luhende kuhusu Maktaba.
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2023-09-13)Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe Balozi Dkt. Pindi Chana (Mb) akipata maelezo kutoka kwa Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Boniphace Luhende kuhusu Maktaba ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakati wa ziara yake ya kikazi ... -
Sehemu ya Watumishi wa OWMS wakipata viburudisho mara baada ya kuwasili katika eneno la kumpumzika wageni maarufu kama Picnic
(Kitengo cha Mawasiliano Serikalini; Ofisi ya Wakili Mkuu wa serikali, 2022-05-28)Sehemu ya Watumishi wa OWMS wakipata viburudisho mara baada ya kuwasili katika eneno la kumpumzika wageni maarufu kama Picnic lililopo katikati ya Hifadhi ya Taifa ya Tarangire. -
Baadhi ya Watumishi kutoka Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakiwa wamevalia kofia za kitalii
(Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali; Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, 2022-05-28)Baadhi ya Watumishi kutoka Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakiwa wamevalia kofia za kitalii zenye majina ya Hifadhi za Taifa zinazopatikana nchini.