Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi, akiwasili kwenye viwanja vya Nyerere Square
Abstract
Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi, akiwasili kwenye viwanja vya Nyerere Square alipotembelea mabanda ya wadau mbalimbali wanaoshiriki Maadhimisho ya Wiki ya Sheria yanayoendelea Jijini Dodoma kwa lengo la kuona namna wadau hao wanavyotekeleza majukumu yao.
Collections
- Photos [116]