JARIDA LA WAKILI MKUU: TOLEO LA KUMI NA SITA
| dc.contributor.author | OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI | |
| dc.date.accessioned | 2026-07-06T07:55:42Z | |
| dc.date.issued | 2026 | |
| dc.description.abstract | Toleo la Kumi na Sita la Jarida la Wakili Mkuu limeangazia mambo muhimu yaliyotekelezwa katika kipindi cha mwezi Desemba, 2025 hadi Machi, 2026. Jarida hili limeangazia mafanikio ya utekelezaji wa majukumu ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali ikiwemo taarifa ya mafanikio ya Siku 100 za kipindi cha awamu ya pili ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. | |
| dc.identifier.citation | Toleo la Kumi na Sita la Jarida la Wakili Mkuu limeangazia mambo muhimu yaliyotekelezwa katika kipindi cha mwezi Desemba, 2025 hadi Machi, 2026. Jarida hili limeangazia mafanikio ya utekelezaji wa majukumu ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali ikiwemo taarifa ya mafanikio ya Siku 100 za kipindi cha awamu ya pili ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. | |
| dc.identifier.uri | https://elibrary.osg.go.tz123456789/4711 | |
| dc.publisher | OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI | |
| dc.title | JARIDA LA WAKILI MKUU: TOLEO LA KUMI NA SITA | |
| dc.type | Article |

