JARIDA LA WAKILI MKUU: TOLEO LA KUMI NA SITA
Loading...
Date
Authors
Journal Title
Journal ISSN
Volume Title
Publisher
OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI
Abstract
Toleo la Kumi na Sita la Jarida la Wakili Mkuu limeangazia mambo muhimu yaliyotekelezwa katika kipindi cha mwezi Desemba, 2025 hadi Machi, 2026. Jarida hili limeangazia mafanikio ya utekelezaji wa majukumu ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali ikiwemo taarifa ya mafanikio ya Siku 100 za kipindi cha awamu ya pili ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Description
Keywords
Citation
Toleo la Kumi na Sita la Jarida la Wakili Mkuu limeangazia mambo muhimu yaliyotekelezwa katika kipindi cha mwezi Desemba, 2025 hadi Machi, 2026. Jarida hili limeangazia mafanikio ya utekelezaji wa majukumu ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali ikiwemo taarifa ya mafanikio ya Siku 100 za kipindi cha awamu ya pili ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

