TAMKO LA SHUGHULI ZA RAIS KUANZISHA NA KUTUNUKU NISHANI LA MWAKA 2025, TANGAZO LA SERIKALI Na. 264
Loading...
Date
Authors
Journal Title
Journal ISSN
Volume Title
Publisher
GOVERNMENT PRINTER DODOMA
Abstract
KWA KUWA, kifungu cha 4 cha Sheria ya Shughuli za Rais, Sura ya 9, kinampa mamlaka Rais kuanzisha na kutunuku Nishani na Tuzo; NA KWA KUWA, Rais anakusudia kuwatunuku Nishani watu ambao ameridhika kwamba kwa vitendo na mienendo yao wamejipatia sifa na umaarufu unaostahili kutambuliwa kwa namna fulani;

