KANUNI ZA MAREKEBISHO YA KANUNI ZA USIMAMIZI WA SHUGHULI ZA UVUVI KATIKA MAENEO YA HIFADHI ZA MWAKA 2025, TANGAZO LA SERIKALI NA. 228
Loading...
Date
Authors
Journal Title
Journal ISSN
Volume Title
Publisher
GOVERNMENT PRINTER DODOMA
Abstract
Kanuni hizi zitajulikana kama Kanuni za Marekebisho ya Kanuni za Usimamizi wa Shughuli za Uvuvi katika Maeneo ya Hifadhi za Mwaka 2025 na zitasomwa pamoja na Kanuni za Usimamizi wa Shughuli za Uvuvi katika Maeneo ya Hifadhi za Mwaka, 2024 ambazo hapa zimerejewa kama “Kanuni kuu”.

