GALLERY: Recent submissions
Now showing items 81-100 of 152
-
Mhamasishaji wa Mradi wa Utawala wa Sheria na Mahakama wa Kanda ya Afrika wa Shirika la Ushirikiano wa Kimataifa la Ujerumani (The Deutsche Gesellschaft für Internationale Zusammenarbeit - GIZ) ndugu Muhamet Ibrahimi akizungumza
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-04-04)Mhamasishaji wa Mradi wa Utawala wa Sheria na Mahakama wa Kanda ya Afrika wa Shirika la Ushirikiano wa Kimataifa la Ujerumani (The Deutsche Gesellschaft für Internationale Zusammenarbeit - GIZ) ndugu Muhamet Ibrahimi ... -
Mratibu wa Kongani ya Jinsia wa Shirika la Ushirikiano wa Kimataifa la Ujerumani (The Deutsche Gesellschaft für Internationale Zusammenarbeit - GIZ) Bi. Katharina Kuehn
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-04-04)Mratibu wa Kongani ya Jinsia wa Shirika la Ushirikiano wa Kimataifa la Ujerumani (The Deutsche Gesellschaft für Internationale Zusammenarbeit - GIZ) Bi. Katharina Kuehn akizungumza na Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally ... -
Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi akizungumza na viongozi wa Shirika la Ushirikiano wa Kimataifa la Ujerumani
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-04-04)Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi akizungumza na viongozi wa Shirika la Ushirikiano wa Kimataifa la Ujerumani (The Deutsche Gesellschaft für Internationale Zusammenarbeit - GIZ) walipofika Ofisini kwake jijini Dar ... -
Maafisa waandamizi wa Benki ya NMB wakimsikiliza Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt . Ally Possi (hayupo pichani)
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-03-17)Maafisa waandamizi wa Benki ya NMB wakimsikiliza Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt . Ally Possi (hayupo pichani) akizungumza na Mtendaji Mkuu wa Benki hiyo, Bi. Ruth Zaipuna (hayupo pichani) walipomtembelea Wakili Mkuu wa ... -
Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Bi. Ruth Zaipuna akizungumza na Wakili Mkuu wa Serikali Dkt. Ally Possi (hayupo pichani)
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-03-17)Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Bi. Ruth Zaipuna akizungumza na Wakili Mkuu wa Serikali Dkt. Ally Possi (hayupo pichani) alipomtembelea kwa lengo la kujitambulisha ofisini kwake jijini Dar es salaam. -
Wakili Mkuu wa Serikali Dkt Ally Possi akizungumza na mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Bi Ruth Zaipuna (hayupo pichani)
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-03-17)Wakili Mkuu wa Serikali Dkt Ally Possi akizungumza na mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Bi Ruth Zaipuna (hayupo pichani) alipomtembelea Wakili Mkuu wa Serikali kwa lengo la kujitambulisha ofisini kwake jijini Dar es salaam. -
Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi (aliyeketi katikati) akiwa na watumishi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-02-13)Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi (aliyeketi katikati) akiwa na watumishi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali mara baada ya kikao na Watumishi wa Ofisi Hiyo kilichofanyika Jijini Dar es Salaam. -
Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi (aliyeketi katikati) akiwa na Wajumbe wa Menejimenti wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-02-13)Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi (aliyeketi katikati) akiwa na Wajumbe wa Menejimenti wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali mara baada ya kikao na Watumishi wa Ofisi Hiyo kilichofanyika Jijini Dar es Salaam. -
Watumishi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, wakimsikiliza Wakili Mkuu wa Serikali Dkt. Ally Possi (hayupo pichani)
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-02-13)Watumishi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, wakimsikiliza Wakili Mkuu wa Serikali Dkt. Ally Possi (hayupo pichani) wakati wa kikao cha watumishi wa Ofisi hiyo kilichofanyika Jijini Dar es Salaam. -
Katibu Sheria wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali Bi. Renalda Kabewa
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-02-13)Katibu Sheria wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali Bi. Renalda Kabewa akichangia mada kuhusu namna Mfumo Mpya wa Usimamizi wa Mashauri unavyofanya kazi wakati wa Kikao cha Watumishi wote kilichofanyika Jijini Dar es Salaam. -
Afisa TEHAMA wa Mahakama ya Tanzania, Ndugu Yasin Kamanyile akielezea namna Mfumo Mpya wa Usimamizi wa Mashauri
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-02-13)Afisa TEHAMA wa Mahakama ya Tanzania, Ndugu Yasin Kamanyile akielezea namna Mfumo Mpya wa Usimamizi wa Mashauri wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali unavyofanya kazi wakati wa Kikao cha Watumishi wote kilichofanyika Jijini ... -
Mwenyekiti wa TUGHE tawi la Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Ndugu Mtani Songorwa
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-02-13)Mwenyekiti wa TUGHE tawi la Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Ndugu Mtani Songorwa akitoa neno la shukrani kwa uongozi wa ofisi hiyo wakati wa kikao cha watumishi wa ofisi hiyo kilichofanyika Jijini Dar es Salaam. -
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Usimamizi wa Mashauri na Udhiti Ubora wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Ndugu. Camilius Ruhinda
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-02-13)Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Usimamizi wa Mashauri na Udhiti Ubora wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Ndugu. Camilius Ruhinda akitoa maelezo mafupi kuhusu namna Mfumo wa Usimamizi wa Mashauri wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa ... -
Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Asha Hayeshi
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-02-13)Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Asha Hayeshi akitoa neno la shukrani mara baada ya kumaliza kikao cha Watumishi kilichofanyika Jijini Dar es Salaam. -
Naibu Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Alice Mtulo akimkaribisha Wakili Mkuu wa Serikali
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-02-13)Naibu Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Alice Mtulo akimkaribisha Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi (hayupo pichani) wakati wa kikao cha watumishi wa ofisi hiyo kilichofanyika Jijini Dar es Salaam. -
Wakili MKuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi akizungumza na watumishi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2025-02-13)Wakili MKuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi akizungumza na watumishi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali kwa lengo la kutoa mwelekeo wa Ofisi hiyo kwenye kikao kilichofanyika Jijini Dar es Salaam. -
WAKILI WA SERIKALI MKUU NA MWENYEKITI WA KAMATI YA UADILIFU WA OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, Bi. VIVIAN METHOD
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2024-11-21)Wakili wa Serikali Mkuu na Mwenyekiti wa Kamati ya Uadilifu wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Vivian Method akizungumza na wajumbe wa kamati hiyo wakati akimkaribisha Naibu Wakili Mkuu wa Serikali Bi. Alice Mtulo( ... -
BAADHI YA WAJUMBE WA MENEJIMENTI NA KAMATI YA OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI WAKIMSIKILIZA NWMS.
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2024-11-21)Baadhi ya wajumbe wa manejimenti na kamati ya Uadilifu ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakimsikiliza Naibu Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Alice Mtulo (hayupo pichani) wakati akifungua mafunzo kwa wajumbe hao kuhusu ... -
NAIBU WAKILI MKUU WA SERIKALI Bi. ALICE MTULO (KATIKATI) AKIWA NA WAJUMBE WA MANEJIMENTI YA OWMS.
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2024-11-21)Naibu Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Alice Mtulo (aliyesimama katikati) akiwa na wajumbe wa manejimenti ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali baada ya kufungua mafunzo kwa wajumbe wa kamati ya uadilifu ya ofisi hiyo kuhusu ... -
NAIBU WAKILI MKUU WA SERIKALI, Bi. ALICE MTULO AKIWA NA WAKUFUNZI WA MAFUNZO.
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2024-11-21)Naibu wakili Mkuu wa Serikali Bi. Alice Mtulo (aliyesimama katikati) akiwa na wakufunzi wa mafunzo kuhusu utekelezaji wa mkakati wa Taifa dhidi ya Rushwa Awamu ya Nne yaliyofanyika Kibaha Mkoani Pwani.