Now showing items 61-80 of 1024

    • JARIDA WAKILI MKUU: TOLEO LA KUMI 

      OFISI YA WAKILI MKUU (OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2024-01-01)
      Toleo la Kumi la Jarida la Wakili Mkuu ni maalumu kwa ajili ya kuangazia mafanikio ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali (OWMS) katika kipindi kinachoanzia mwezi Januari, 2024 mpaka Machi, 2024 kwa kuzingatia 4R za Rais wa ...
    • JARIDA WAKILI MKUU: TOLEO LA TISA 

      OFISI YA WAKILI MKUU (OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2023-10-01)
      Tarehe 02 Oktoba, 2024; Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan alimteua Bi. Sarah Mwaipopo kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania. Kabla ya uteuzi huo, Bi. Mwaipopo alikuwa Naibu Wakili Mkuu ...
    • JARIDA WAKILI MKUU: TOLEO LA NANE 

      OFISI YA WAKILI MKUU (OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2023-09-01)
      Toleo la Nane la Jarida la Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali ni maalum kwa ajili ya kuhabarisha umma kuhusu mambo mbalimbali yaliyojiri katika Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali kwa kipindi kinacho anzia mwezi Julai hadi ...
    • JARIDA WAKILI MKUU: TOLEO LA TANO 

      OFISI YA WAKILI MKUU (OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2023-01-28)
      Toleo la Tano la Jarida la Wakili Mkuu wa Serikali ni maalumu kwa ajili ya kuangazia uelekeo wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali inapoelekea kutimiza miaka mitano tangu kuanzishwa kwake. Katika kuangazia hilo, jarida hili ...
    • JARIDA LA WAKILI MKUU: TOLEO LA SABA 

      OFFICE OF THE SOLICITOR GENERAL, (OSG) (OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2023-09-08)
      Toleo la Saba la Jarida la Wakili Mkuu wa Serikali ni maalumu kwa ajili ya kutathmini utekelezaji wa majukumu ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali baada ya kutimiza miaka mitano tangu kuanzishwa kwake mwaka 2018. Katika ...
    • JARIDA LA WAKILI MKUU: TOLEO LA SITA 

      OFFICE OF THE SOLICITOR GENERAL, (OSG) (OFFICE OF THE SOLICITOR GENERAL, 2023-10-16)
      Toleo la Sita la Jarida la Wakili Mkuu wa Serikali ni maalumu kwa ajili ya kuendelea kuangazia mafanikio ya Ofisi ya Wakili Mkuu Wa Serikali katika miaka miwili ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia ...
    • THE TANZANIA COURT OF APPEAL (AMENDMENT) RULES, GN 188 OF 2024 

      IBRAHIM, JUMA, H. (The Government Printer, Dodoma, 2024-03-22)
      The Tanzania Court of Appeal (Amendment) Rules, 2024 and shall be read as one with the Tanzania Court of Appeal Rules, hereinafter referred to as “the principal Rules”.(Made under section 12)
    • THE TANZANIA COURT OF APPEAL RULES, CHAPTER 141 R.E. 2019 SUBSIDIARY LEGISLATION 

      ATTORNEY GENERAL (The Government Printer, Dodoma, 2019-11-30)
      In administering these Rules, the Court shall seek to give effect to the overriding objective as provided for under sections 3A and 3B of the Act.
    • THE WRITTEN LAWS (MISCELLANEOUS AMENDMENTS), ACT NO. 4 OF 2024 

      MWIHAMBI, NENELWA J. (The Government Printer, Dodoma, 2024-03-22)
      An Act to amend certain written laws.
    • THE POLITICAL PARTIES AFFAIRS LAWS (AMENDMENT) ACT, 2024 

      MWIHAMBI, NENELWA J. (The Government Printer, Dodoma, 2024-03-22)
      An Act to amend the laws governing affairs of political parties.
    • SHERIA YA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI NA. 2 YA MWAKA 2024 

      MWIHAMBI, NENELWA J. (The Government Printer, Dodoma, 2024-03-22)
      Sheria kwa ajili ya kubainisha muundo, majukumu, utaratibu wa upatikanaji wa Wajumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi na sifa za Mkurugenzi wa Uchaguzi, kuweka utaratibu wa uendeshaji wa vikao vya Tume Huru ya Taifa ya ...
    • SHERIA YA UCHAGUZI WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI NA. 1 YA MWAKA 2024 

      MWIHAMBI, NENELWA J. (The Government Printer, Dodoma, 2024-03-22)
      Sheria inayoweka masharti ya kusimamia uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani, kufuta Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, 1985 na Sheria ya Uchaguzi ya Serikali za Mitaa, 1979 na kuweka masharti mengine yanayohusiana na hayo. ...
    • MUSWADA WA SHERIA YA UWEKEZAJI WA UMMA, TOLEO NA. 13 LA 2023 

      KITILA, MKUMBO (The Government Printer, Dodoma, 2023-10-19)
      Sheria ya kuweka masharti ya uwekezaji wa umma, mfumo wa kitaasisi kwa ajili ya uratibu na usimamizi wa uwekezaji wa umma, usimamizi wa mashirika ya umma, kufuta Sheria ya Mamlaka na Majukumu ya Msajili wa Hazina, na masuala ...
    • MUSWADA WA SHERIA YA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI, TOLEO NA. 12 LA 2023 

      MAJALIWA, KASSIM (The Government Printer, Dodoma, 2023-10-19)
      Sheria kwa ajili ya kubainisha muundo, majukumu, utaratibu wa upatikanaji wa Wajumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi na sifa za Mkurugenzi wa Uchaguzi, kuweka utaratibu wa uendeshaji wa vikao vya Tume ya Taifa ya Uchaguzi na ...
    • THE WRITTEN LAWS (MISCELLANEOUS AMENDMENTS) (NO. 5) BILL, SUPP. NO. 11 OF 2023 

      FELESHI, ELIEZER (The Government Printer, Dodoma, 2023-10-19)
      An Act to amend certain written Laws
    • THE WRITTEN LAWS (MISCELLANEOUS AMENDMENTS) (NO. 3) BILL, SUPP. NO. 10. OF 2023 

      FELESHI, ELIEZER (The Government Printer, Dodoma, 2023-09-05)
      This Bill to be submitted to the National Assembly was published as Bill Supplement No. 9 of 3rd September, 2023. This Bill is now re-published for general information to the public together with a statement of its objects ...
    • MUSWADA WA SHERIA YA UCHAGUZI WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI TOLEO NA. 10 LA 2023 

      MAJALIWA, KASSIM (The Government Printer, Dodoma, 2023-10-19)
      Sheria inayoweka masharti ya kusimamia uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani, kufuta Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, 1985 na Sheria ya Uchaguzi ya Serikali za Mitaa, 1979 na kuweka masharti mengine yanayohusiana nayo.
    • THE POLITICAL PARTIES AFFAIRS LAWS (AMENDMENT) BILL, SUPP. NO. 9 OF 2023 

      MAJALIWA, KASSIM (The Government Printer, Dodoma, 2023-10-19)
      An Act to amend the laws governing affairs of political parties.
    • THE WRITTEN LAWS (MISCELLANEOUS AMENDMENTS) (NO. 4) BILL, SUPP. NO. 8B OF 2023 

      FELESHI, ELIEZER (The Government Printer, Dodoma, 2023-08-16)
      An Act to Amend a certain Laws.
    • THE LEGAL SECTOR LAWS (MISCELLANEOUS AMENDMENTS) BILL, SUPP. NO. 8A OF 2023 

      CHANA, PINDI (The Government Printer, Dodoma, 2023-08-16)
      An Act to amend various written laws relating to legal sector.