The United Republic of Tanzania

Office of the Solicitor General

e-Library

JARIDA WAKILI MKUU: TOLEO LA KUMI NA MOJA

Loading...
Thumbnail Image

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI

Abstract

Tarehe 04 Aprili, 2024; Rais wa Jamhuri yaMuungano wa Tanzania Mhe. Dkt. SamiaSuluhu Hassan alimteua Mkurugenzi wa Idara ya Usimamizi wa Mashauri na Udhibiti Ubora wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Alice Edward Mtulo kuwa NaibuWakili Mkuu wa Serikali ambapo tarehe 28 Aprili, 2024 aliapishwa. Kuteuliwa kwa Bi. Mtulo kushika nafasi hiyo inadhihirisha kuwa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali inaendelea kulea na kuandaa Viongozi wanaoweza kufanya kazi kwa weledi na kuchapa kazi kwa bidii ili kumsaidia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kuiletea nchi yetu maendeleo.

Description

Citation

Collections

Endorsement

Review

Supplemented By

Referenced By