HOTUBA YA WAKILI MKUU WA SERIKALI DKT. ALLY POSSI AKIFUNGUA MAFUNZO YA MAWAKILI WA SERIKALI, JIJINI ARUSHA.
Date
Authors
Journal Title
Journal ISSN
Volume Title
Publisher
OSG
Abstract
Kupitia mafunzo haya, tunalenga kuimarisha uwezo wa Mawakili wa Serikali ikiwemo usimamizi wa mikataba ya ujenzi na manunuzi, sheria za anga, sheria za kodi, sheria za kodi katika sekta ya mafuta, usuluhishi na uendeshaji wa mashauri katika mabaraza mbali mbali. Hii ni hatua muhimu ya kuandaa Mawakili ambao si tu wataendesha mashauri kwa ubora bali watazuia na kulinda maslahi ya Serikali tangu hatua ya awali ya uandaaji wa mikataba, usimamizi wa mikataba, usuluhishi wa migogoro kabla na baada ya kuwasilisha shauri katika mahakama au mabaraza
Description
Keywords
Citation
Possi, Ally (2026) HOTUBA YA WAKILI MKUU WA SERIKALI DKT. ALLY POSSI KUFUNGUA MAFUNZO YA MAWAKILI WA SERIKALI WA KUTOKA WIZARA, IDARA, TAASISI ZA SERIKALI, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA WA TANZANIA BARA NA ZANZIBAR, JIJINI ARUSHA.

