KANUNI ZA MAREKEBISHO YA KANUNI ZA UTOAJI NA USIMAMIZI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ZA MWAKA 2025, TANGAZO LA SERIKALI NA. 230
Abstract
Kanuni hizi zitajulikana kama Kanuni za Marekebisho ya Kanuni za Utoaji na Usimamizi wa Mikopo kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana na Watu Wenye Ulemavu za Mwaka 2025, na zitasomwa pamoja na Kanuni za Utoaji na Usimamizi wa Mikopo kwa
Vikundi vya Wanawake, Vijana na Watu Wenye Ulemavu za Mwaka 2024 ambazo hapa zimerejewa kama “Kanuni Kuu”.
Collections
- Subsidiary Legislation [230]