KANUNI ZA MAREKEBISHO YA KANUNI ZA NIDHAMU KWA WANAFUNZI ZA MWAKA 2025, TANGAZO LA SERIKALI Na. 149
Abstract
Kanuni hizi zitajulikana kama Kanuni za Marekebisho ya Kanuni za Nidhamu kwa Wanafunzi za Mwaka 2025 na zitasomwa pamoja na Kanuni za Nidhamu kwa Wanafunzi za Mwaka 2024, ambazo katika Kanuni hizi zinarejewa kama “Kanuni kuu”.
Collections
- Subsidiary Legislation [224]