Wakili Mkuu wa Serikali Dkt. Ally Possi (watatu kutoka kushoto) akiwa kwenye picha ya pamoja na Viongozi wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu, Umoja wa Wanasheria Afrika (PALU)
Abstract
Wakili Mkuu wa Serikali Dkt. Ally Possi (watatu kutoka kushoto) akiwa kwenye picha ya pamoja na Viongozi wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu, Umoja wa Wanasheria Afrika (PALU) na Viongozi Waandamizi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali baada ya kikao kilichofanyika Ofisini kwake jijini Dar es Salaam.
Collections
- Photos [94]