Mkuu wa Idara ya Utetezi wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu, Wakili Paul Kisabo
Abstract
Mkuu wa Idara ya Utetezi wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu, Wakili Paul Kisabo akitoa neno la shukurani mara baada ya kikao na Wakili Mkuu wa Serikali Dkt. Ally Possi (hayupo pichani) Ofisi kwake jijini Dar es Salaam.
Collections
- Photos [94]