SHERIA YA SHIRIKA LA UTANGAZAJI TANZANIA NA. 3 YA MWAKA 2025
Abstract
Sheria hii itajulikana kama Sheria ya Shirika la Utangazaji Tanzania ya Mwaka 2025 na itaanza kutumika tarehe ambayo Waziri atateua kwa notisi itakayochapishwa katika Gazeti la Serikali.