• Login
    • LMS OPAC
    Tanzania emblem
    The United Republic of Tanzania

    Office of The Solicitor General

    eLibrary
    NDC Logo
    View Item 
    •   OSG Library Home
    • OSG PUBLICATIONS
    • Newsletters
    • Newsletters
    • View Item
    •   OSG Library Home
    • OSG PUBLICATIONS
    • Newsletters
    • Newsletters
    • View Item
    JavaScript is disabled for your browser. Some features of this site may not work without it.

    JARIDA WAKILI MKUU: TOLEO LA TANO

    Thumbnail
    View/Open
    Toleo la Tano (5) Jarida la Wakili Mkuu 28.01.2023.pdf (4.906Mb)
    Date
    2023-01-28
    Author
    OFISI YA WAKILI MKUU
    Metadata
    Show full item record
    Abstract
    Toleo la Tano la Jarida la Wakili Mkuu wa Serikali ni maalumu kwa ajili ya kuangazia uelekeo wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali inapoelekea kutimiza miaka mitano tangu kuanzishwa kwake. Katika kuangazia hilo, jarida hili linaendelea kutambua mchango mkubwa wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuboresha Ofisi hii. Pamoja na mchango mkubwa wa Mhe. Rais, Ofisi ya Wakili Mkuu imekuwa mstari wa mbele kuunga mkono juhudi za Serikali kwa kuhakikisha tunaendelea kuiwakilisha vyema na kwa weledi mkubwa katika uratibu, usimamizi na uendeshaji wa mashauri ya madai na usuluhishi yaliyofunguliwa na au dhidi ya Serikali na taasisi zake ndani na nje ya nchi.
    URI
    http://elibrary.osg.go.tz/handle/123456789/1372
    Collections
    • Newsletters [11]

    OSG Copyright © 2025  LIBRARY
    Contact Us | Send Feedback
     

     

    Browse

    All of OSG LibraryCommunities & CollectionsBy Issue DateAuthorsTitlesSubjectsThis CollectionBy Issue DateAuthorsTitlesSubjects

    My Account

    LoginRegister

    OSG Copyright © 2025  LIBRARY
    Contact Us | Send Feedback