MKUTANO MKUU WA MWAKA 2026. WA WATUMISHI WA OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI.
Date
Authors
Journal Title
Journal ISSN
Volume Title
Publisher
OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI
Abstract
Picha na Matukio ya Mkutano Mkuu wa Mwaka 2026, wa Watumishi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali. Ambapo Wakili Mkuu wa Serikali Dr. Ally Possi amewataka watumishi wa Ofisi hii kuendelea kudumisha umoja, mshikamano na upendo ndani ya taasisi kwa kuwa hii ni afya kwa taasisi na nchi yetu na hili liwe mpaka chini kwa watumishi wote.

