The United Republic of Tanzania

Office of the Solicitor General

e-Library

Naibu Wakili Mkuu Atembelea Banda la Tume ya Haki za Binadamu Sabasaba

Abstract

Description

Keywords

Citation

Naibu Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Alice Mtulo (aliyeketi kulia) akimsikiliza Mkurugenzi wa Elimu kwa Umma, Mawasiliano, Tafiti na Nyaraka wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Bi. Monica Mnanka alipotembelea banda la Tume hiyo wakati wa Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) yanayoendelea Jijini Dar es Salaam.

Collections

Endorsement

Review

Supplemented By

Referenced By