Jarida la wakili mkuu: Toleo la kumi na nne, Mei-Julai, 2025
Loading...
Date
Authors
Journal Title
Journal ISSN
Volume Title
Publisher
OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI
Abstract
Description
Keywords
Citation
Jarida la Ofisi ya Wakili Mkuu Toleo la 14 Lina taarifa za utekelezaji wa majukumu ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali ambayo yametekelezwa katika kipindi cha mwezi Mei, 2025 hadi Julai, 2025. Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali kwa kushirikiana na wadau imefanikiwa kutekeleza majukumu ambayo yamekasimiwa kisheria kupitia Tangazo la Serikali Na. 50 la mwaka 2018 lililoanzisha Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali. Ofisi imepewa dhamana ya kusimamia, kuratibu na kuendesha mashauri ya madai na usuluhishi kwa niaba ya Serikali na taasisi zake kwa ufanisi ili kulinda maslahi mapana ya taifa.

