Naibu Wakili Mkuu wa Serikali Akipokea Zawadi Alipotembelea banda la Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali
Date
Authors
Journal Title
Journal ISSN
Volume Title
Publisher
OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI
Abstract
Naibu Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Alice Mtulo (aliyesimama kushoto) akipokea zawadi kutoka kwa Mkurugenzi wa Uratibu na Huduma za Kisheria wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali Bi. Neema Ringo alipotembelea banda la Maonesho la Ofisi hiyo wakati wa Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) yanayoendelea Jijini Dar es Salaam.
Description
Keywords
Citation
Naibu Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Alice Mtulo (aliyesimama kushoto) akipokea zawadi kutoka kwa Mkurugenzi wa Uratibu na Huduma za Kisheria wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali Bi. Neema Ringo alipotembelea banda la Maonesho la Ofisi hiyo wakati wa Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) yanayoendelea Jijini Dar es Salaam.

