OSG Repository: Recent submissions
Now showing items 101-120 of 1024
-
Jaji wa Mahakama ya Biashara Tanzania, Mhe. Dkt. Deo Nangela akisaini kitabu cha wageni alipotembelea banda la maonesho la Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2023-10-25)Jaji wa Mahakama ya Biashara Tanzania, Mhe. Dkt. Deo Nangela akisaini kitabu cha wageni alipotembelea banda la maonesho la Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakati wa mkutano wa Majaji Wakuu wa Nchi za Kusini na Mashariki ... -
Mkurugenzi Msaidizi wa Udhibiti Ubora wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Mercy Kyamba akifafanua jambo kwa Jaji wa Mahakama ya Rufani Tanzania, Mhe. Augustine Mwarija
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2023-10-25)Mkurugenzi Msaidizi wa Udhibiti Ubora wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Mercy Kyamba akifafanua jambo kwa Jaji wa Mahakama ya Rufani Tanzania, Mhe. Augustine Mwarija alipotembelea banda la maonesho la Ofisi hiyo wakati ... -
Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania (Arusha), Mhe. Nyigulila Mwaseba akisaini kitabu cha wageni.
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2023-10-25)Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania (Arusha), Mhe. Nyigulila Mwaseba akisaini kitabu cha wageni alipotembelea banda la maonesho la Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakati wa mkutano wa Majaji Wakuu wa Nchi za Kusini na Mashariki ... -
Jaji Mkuu wa Malawi, Mhe. Rizine Mzikamanda akisaini kitabu cha wageni
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2023-10-25)Jaji Mkuu wa Malawi, Mhe. Rizine Mzikamanda akisaini kitabu cha wageni alipotembelea banda la maonesho la Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakati wa mkutano wa Majaji Wakuu wa Nchi za Kusini na Mashariki mwa Afrika unaofanyika ... -
Jaji wa Shelisheli na Mhe. Blastol Adeline akifurahia uwepo wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali nchini Tanzania
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2023-10-25)Jaji wa Shelisheli, Mhe. Blastol Adeline aliyesimama pembeni mwa aliyeambatana nae akifurahia uwepo wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali nchini Tanzania tofauti na nchini kwao alipotembelea banda la maonesho la Ofisi hiyo ... -
Mkurugenzi Msaidizi wa Udhibiti Ubora wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Mercy Kyamba akifafanua jambo kwa Mwakilishi wa Tume ya VENICE wa Italy
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2023-10-25)Mkurugenzi Msaidizi wa Udhibiti Ubora wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Mercy Kyamba akifafanua jambo kwa Mwakilishi wa Tume ya VENICE wa Italy na Ufaransa, Qianni Buqvicchio alipotembelea banda la maonesho la Ofisi ... -
Jaji Kiongozi, Mhe. Mustapher Siyani akimsikiliza Mkurugenzi Msaidizi wa Udhibiti Ubora wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikal
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2023-10-25)Jaji Kiongozi, Mhe. Mustapher Siyani akimsikiliza Mkurugenzi Msaidizi wa Udhibiti Ubora wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Mercy Kyamba akimpa maelezo kuhusu utendaji wa Ofisi hiyo alipotembelea banda la maonesho la Ofisi ... -
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Menejimenti ya Kesi na Udhibiti Ubora, Alice Mtulo (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya watumishi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2023-10-23)Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Menejimenti ya Kesi na Udhibiti Ubora, Alice Mtulo (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya watumishi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali kwenye banda la maonesho la Ofisi hiyo ... -
Mkurugenzi Msaidizi wa Mashauri ya Katiba, Haki za Binadamu na Uchaguzi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Hangi Chang’a akikabidhi Jarida la Ofisi kwa Alicia Mbuya kwenye banda, Arusha
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2023-10-23)Mkurugenzi Msaidizi wa Mashauri ya Katiba, Haki za Binadamu na Uchaguzi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Hangi Chang’a akikabidhi Jarida la Ofisi hiyo kwa Alicia Mbuya aliyewahi kushika nafasi hiyo wakiwa kwenye banda ... -
Mkurugenzi Msaidizi wa Mashauri ya Katiba, Haki za Binadamu na Uchaguzi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Hangi Changá (kulia) na Alicia Mbuya, (katikati) akiwa na Mercy Kyamba, Mkurugenzi Msaidizi Udhibiti Ubora.
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2023-10-23)Mkurugenzi Msaidizi wa Mashauri ya Katiba, Haki za Binadamu na Uchaguzi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Hangi Changá (kulia) akiwa kwenye picha ya pamoja na Alicia Mbuya aliyewahi kushika nafasi hiyo (katikati) akiwa ... -
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Menejimenti ya Kesi na Udhibiti Ubora, Alice Mtulo akiwa na Mkurugenzi Msaidizi wa Mashauri ya Katiba, Haki za Binadamu na Uchaguzi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2023-10-23)Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Menejimenti ya Kesi na Udhibiti Ubora, Alice Mtulo akiwa na Mkurugenzi Msaidizi wa Mashauri ya Katiba, Haki za Binadamu na Uchaguzi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakihudhuria mkutano wa ... -
Mkurugenzi wa Mashataka, Slyvester Mwakitalu akiweka saini
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2023-10-23)Mkurugenzi wa Mashataka, Slyvester Mwakitalu akiweka saini kwenye kitabu cha wageni alipotembelea banda la maonesho la Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali kwenye mkutano wa Jukwaa la Majaji Wakuu wa Nchi za Kusini na Mashariki ... -
Mkurugenzi wa Mashataka, Slyvester Mwakitalu akiweka saini
(OFFICE OF THE SOLICITOR GENERAL, 2023-10-23)Mkurugenzi wa Mashataka, Slyvester Mwakitalu akiweka saini kwenye kitabu cha wageni alipotembelea banda la maonesho la Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali kwenye mkutano wa Jukwaa la Majaji Wakuu wa Nchi za Kusini na Mashariki ... -
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Juma
(OWMS, 2023-10-23)Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akifungua mkutano wa Jukwaa la Majaji Wakuu wa Nchi za Kusini na Mashariki mwa Afrika unaofanyika Arusha. Kulia ni Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, ... -
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akifungua mkutano
(OWMS, 2023-10)Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akifungua mkutano wa Jukwaa la Majaji Wakuu wa Nchi za Kusini na Mashariki mwa Afrika unaofanyika Arusha -
MHE. BALOZI DKT. PINDI HAZARA CHANA AIPONGEZA OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI KWA KULINDA MASLAHI YA SERIKALI NDANI NA NJE YA NCHI
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2023-09-13)Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana amesema kuwa lengo la ziara yake ya kutembelea OWMS ni kufahamu majukumu yao na kujenga uelewa kuhusu namna wanavyotekeleza majukumu hayo ili taasisi zote zilizo chini ya Wizara ya Katiba na ... -
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana (Mb) akisaini kitabu cha wageni kwenye Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali.
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2023-09-13)Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana (Mb) akisaini kitabu chawageni kwenye Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Boniphace Luhende (hayupo pichani) mara baada ya kuwasili katika Ofisi ya Wakili Mkuu ... -
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe Balozi Dkt. Pindi Chana (Mb) akipokea jarida, nyaraka na zawadi kutoka kwa Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Boniphace Luhende
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2023-09-13)Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe Balozi Dkt. Pindi Chana (Mb) akipokea jarida, nyaraka na zawadi kutoka kwa Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Boniphace Luhende. alipotembelea Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali Jijini Dar es Salaam ... -
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe Balozi Dkt. Pindi Chana (Mb) akipata maelezo kutoka kwa Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Boniphace Luhende kuhusu Maktaba.
(OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI, 2023-09-13)Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe Balozi Dkt. Pindi Chana (Mb) akipata maelezo kutoka kwa Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Boniphace Luhende kuhusu Maktaba ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakati wa ziara yake ya kikazi ... -
MUSWADA WA SHERIA YA UNUNUZI WA UMMA TOLEO NA. 5 LA MWAKA 2023
(The Government Printer, Dodoma, 2023-05-12)Sheria ya kuweka masharti bora ya usimamizi wa ununuzi wa umma na ugavi, kufuta Sheria ya Ununuzi wa Umma ya mwaka 2011 na kutunga upya Sheria ya Ununuzi wa Umma na masuala mengine yanayohusiana na hayo. Introduction ...